Home Makala Manara Afunga Ndoa

Manara Afunga Ndoa

by Sports Leo
0 comments

Msemaji wa klabu ya Yanga sc Haji Manara amefunga ndoa ya pili siku ya Alhamis jionihuku watu wachache wakihudhuria ndoa hiyo ambayo inasemekana imekua ya siri zaidi na ikiwa haina mbwembwe nyingi.

Katika harusi hiyo miongoni mwa watu waliokuwepo ni wasanii wa filamu nchini wakiongozwa na Batuli,Hamisa Mobeto,Jike shupa huku mwanadada Zamaradi Mketema naye alihudhuria.

Taarifa za ndani zaidi zinasema ndoa hiyo imefungwa baadaya ndoa yake ya awali kuwa na migogoro ya hapa na pale kiasi cha Manara kuamua kuoa mke wa pili ili kuongeza faraja zaidi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited