Home Makala Mbaki Salama-Kagere

Mbaki Salama-Kagere

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere amerejea leo nchini Rwanda kwa ajili ya mapumziko mafupi baada ya ligi kuu bara kusimamishwa kwa muda wa siku 30 kutokana na kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona.

Kupitia ukurasa wake wa instagram Kagere amesema kuwa:” Usalama kwanza na ni matumaini yangu kila kitu kitakuwa sawa, bakini salama”

Kiungo huyo ambaye ametupia jumla ya mabao 19 kwenye timu yake ya Simba Sc ambayo inashika nafasi ya kwanza ligi kuu ikiwa na pointi 71 anatarajia kurudi nchini Tanzania baaada ya ligi kutangazwa kuanza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited