Home Makala Milioni Za Chama Kukabidhiwa Yatima

Milioni Za Chama Kukabidhiwa Yatima

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Simba ,Clatous Chama leo Agosti 3 amekabidhiwa zawadi ya Shilingi milioni moja na tuzo ya mchezaji bora ndani ya ligi kuu bara na wadhamini wakuu wa klabu ya Simba,  SportPesa ambao waliendesha mchakato mzima wa kusaka tuzo kwa wachezaji wao.

Chama amesema kuwa fedha hizo zote anazitoa kwa ajili ya yatima kwa kuwa wana mahitaji makubwa kuliko yeye ambaye bado anaendelea kupambana.

Kwenye ligi kuu bara, Chama amefunga mabao mawili na kutoa pasi mbili za mabao kati ya 78 ambayo yamefungwa na Simba Sc msimu wa 2019/20.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited