Snapinsta.app 384230870 18076622827404237 8890703047478083354 n 1024

Feisal,Bruno Watwaa Tuzo Novemba

Bodi ya ligi kuu nchini Tanzania kupitia kamati maalumu ya usimamizi wa ligi imemtangaza mchezaji Feisal Salum kuwa mchezaji bora wa mwezi novemba akiwashinda Kipre Jn wa Azam Fc na Max Nzengeli wa Yanga sc ambao aliingia nao fainali. Taarifa iliyotolewa na bodi hiyo imesema kuwa Feisal kwa mwezi huo aliisaidia Azam fc kupata ushindi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks