Home Makala Molinga Wa Yanga Aanza Mazoezi Zesco

Molinga Wa Yanga Aanza Mazoezi Zesco

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa zamani wa Yanga Sc, David Molinga ameanza mazoezi na timu yake mpya ya Zesco ambayo amejiunga nayo msimu huu wa 2020/21 baada ya kuagana na kikosi cha Yanga msimu wa 2019/2020.

Molinga alikuwa kinara wa utupiaji kwenye kikosi cha msimu wa 2019/2020 kilichokuwa chini ya kocha mkuu Luc Eymael.

Mchezo wa mwisho wa Molinga akiwa kama mwanajangwani ni ule wa uwanja wa Samora, Iringa ambapo alipachika bao lake la 11 na kuifanya Lipuli FC kupoteza matumaini ya kubaki ndani ya ligi kuu bara jumlajumla.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited