Home Makala Nane Wapigwa Chini Kagera Sugar

Nane Wapigwa Chini Kagera Sugar

by Dennis Msotwa
0 comments

Uongozi wa Kagera Sugar umeamua kuachana na nyota wao nane ambao wamemaliza mikataba yao  kwa msimu wa 2019/20 kulingana na ripoti ya kocha wao mkuu,Meck Maxime.

“Wachezaji ambao tumeachana nao ni Juma Nyosso, Ally Shomary, Juma Shemvuni,Majidi Bakari,Frank Ikobela,Evarist Mujwahuki,Kelvin Sabato na Geofrey Mwashiuya,”alisema katibu wa klabu hiyo,Ally Masoud.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited