Home Makala Nyota Mpya Yanga sc Matatani

Nyota Mpya Yanga sc Matatani

by Sports Leo
0 comments

Fiston Abdoulrazack mshambuliaji mpya wa mabingwa wa kihistoria nchini Yanga SC ameingia mzozo na wakala wake wanaofahamika kama HERITAGE SOCER AGENCY kwa madai kwamba amekiuka mkataba na kusaini Yanga bila ridhaa yao kama wasimamizi.

Katika barua yao ambayo wameiandika kwa Yanga SC na kuinakili kwa FIFA, CAF na TFF HERITAGE wanadai kukiukwa na mchezaji pamoja na mawakala wengine wa Kitanzania ambao waliwatumia katika kumtafutia nafasi.

Kampuni hiyo imedai mchezaji huyo waliwasiliana nae wiki hiyo hiyo na hakusema kama amepata dili la klabu hiyo lakini wanashangaa kusikia kuwa tayari amesaini mkataba na wanajangwani hao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited