Home Makala Okwi Atajwa Simba

Okwi Atajwa Simba

by Sports Leo
0 comments

Inadaiwa mambo ya mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba sc Emmanuel Okwi katika klabu ya Al Ittihad nchini Misri baada ya kucheza mechi 14 ndani ya timu yake hiyo ametupia mabao mawili.

Kiwango duni na nafasi finyu ndio vinavyotajwa kuwa vinaweza kumrudisha staa huyo nchini huku klabu ya Simba sc ikitajwa kuwania saini yake japo mipango inafanyika kimyakimya.

Mtendaji Mkuu wa Simba, Senzo Mazingisa  amesema:” Kwa sasa kocha ametoa mapendekezo yake ya mchezaji wa kusajiliwa na kuachwa, hatuwezi kuweka wazi siri za klabu muda ukifika kila kitu kitajulikana,”.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited