Home Makala Saido,Yacouba Bado Kidogo Tu

Saido,Yacouba Bado Kidogo Tu

by Sports Leo
0 comments

Washambuliaji wawili wa klabu ya Yanga sc Saido Ntibanzokiza pamoja na Yacouba Sogne waliokua na majeraha waliyoyapata katika michuano ya mapinduzi Cuo visiwani Zanzibar Bado kidogo tu warudi katika hali yao ya kawaida baada ya kupona majeraha.

Awali wachezaji hao walikua wakisumbuliwa na majeraha mbalimbali lakini kwa mujibu wa kocha Cedrick Kaze tayari wachezaji hao wameanza mazoezi kurejea katika utimamu kamili wa mwili.

Wachezaji hao wamekua na mchango mkubwa kwa timu hiyo hasa katika mechi za ligi kuu nchini hivyo kurejea kwa ni faraja kwa klabu hiyo iliyoanza rasmi mazoezi kujiandaa na awamu ya pili ya ligi kuu nchini inayotarajiwa kuanza Februari 13.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited