Home Makala Sane Awindwa Na Timu Mbili

Sane Awindwa Na Timu Mbili

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Juventus inafikiria kuinasa saini ya Leroy Sane ambaye ni mchezaji wa Manchester City.
Sane ambaye ni raia wa Ujerumani amewekwa kwenye rada za Bayern Munichen ambao kwa muda mrefu walikuwa wanahitaji kuipata saini yake kabla hajapata majeruhi kwenye mchezo wa ngao ya Jamii mwezi Agosti.
Bayern Munichen wapo kwenye mpango wa kurejea mezani kuipata saini ya nyota huyo na inaelezwa itakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa timu nyingine zinazoiwinda saini ya mchezaji huyo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited