Home Makala Simba Ashindwa Kufurukuta Kwa Tanzania Prisons

Simba Ashindwa Kufurukuta Kwa Tanzania Prisons

by Sports Leo
0 comments

Simba Sc ambao ni mabingwa watetezi wa ligi kuu bara ,leo Octoba 22,2020 wamekubali kipigo kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa ligi msimu huu wa 2020/2021 cha bao 1-0 kutoka kwa Tanzania Prisons.

Mchezo huo ulichezwa uwanja wa Nelson Mandela ambapo alama tatu muhimu zilikwenda kwa Tanzania Prisons.

Bao la pekee la Tanzania Prisons lilipachikwa na Samson Mbangula kipindi cha pili cha mchezo dakika ya 49 ambapo alitumia kichwa kupachika bao katika lango la Simba Sc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited