Home Makala Simba Nomaa,Yatwaa Mataji Matatu

Simba Nomaa,Yatwaa Mataji Matatu

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba Sc imetwaa taji lake la tatu leo ndani ya msimu wa 2019/20 ambayo ilianza na ngao ya jamii, kwa ushindi wa mabao 4-2 mbele ya Azam FC Uwanja wa Taifa ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Patrick Aussems.

Ilianza mechi zake 10 za  Ligi Kuu Bara chini ya Aussem kisha ikamaliza na Sven ambaye alitwaa taji la Ligi Kuu Bara.

Leo Agosti 2 ,Simba Sc imetwaa taji la Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Namungo Fc ,fainali  iliyoshuhudiwa na mashabiki wengi  huku mgeni rasmi akiwa Naibu Waziri wa Habari, Juliana Shonza ambaye alikuwa kwa niaba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited