Timu ya Simba sc imesafiri kuelekea nchini Nigeria kucheza mchezo wa klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Plateau United ya nchini humo mchezo utaofanyika siku ya Ijumaa.
Kikosi hicho kimesafiri kikitokea jijini Arusha katika uwanja wa ndege wa Kia ambapo kitapitia nchini Ethiopia kisha kuingia Nigeria.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.