Home Makala Simba,Namungo Kufungua Msimu Mpya

Simba,Namungo Kufungua Msimu Mpya

by Sports Leo
0 comments

Msimu mpya wa ligi kuu utafunguliwa Agosti 29 wakati Simba Sc ambao ni mabingwa wa ligi kuu wakiwakaribisha Namungo Fc kwenye mchezo wa ngao wa jamii utaochezwa mkoani Arusha,uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Mchezo huo ni ishara ya ufunguzi wa msimu wa ligi kwa mwaka 2020/2021 kwani ngao ya jamii huwakutanisha bingwa wa ligi kuu pamoja na bingwa wa ASFC ambapo Simba ndio waliotwaa ubingwa wa mashindano yote na kuwapa Namungo Fc kumaliza nafasi ya pili katika kombe la shirikisho.

Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzani amethibitisha hilo mara baada ya mchezo wa juzi kumalizika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited