Songne amechaguliwa ndani ya Yanga kwa ajili ya maboresho ya msimu ujao wa 2020/2021 ndani ya ligi kuu.
Bado klabu ya Yanga haijapata kocha ila zoezi zima la usajili linasimamiwa kikamilifu na benchi la ufundi huku mazoezi yameshaanza rasmi jana na leo yanaendelea ndani ya chuo kikuu cha sheria jijini Dar-es-salaam.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.