Home Makala Tff Yaanza Vizuri Msimu Huu

Tff Yaanza Vizuri Msimu Huu

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la soka Tanzania(TFF) limeingia mkataba wa mwaka mmoja na Kampuni ya Group Six International wenye thamani ya zaidi ya bilioni 9 kwaajili ya ujenzi wa vituo viwili vya ufundi ‘Techinical centre’ vilivyopo Tanga na Kigamboni.

Vituo hivyo vwili vya ufundi vitakua na viwanja visivyopungua vitatu kwa kila kituo pamoja na  hosteli za kisasa ndani yake.

Ujenzi wa miradi hiyo unategemewa kuanza mapema mwezi wa 10, ambapo itajengwa yote kwa pamoja kwa awamu mbili na kutegemewa kumalizika ndani ya kipindi cha miezi 12,kwa maana ya mwaka mmoja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited