Shirikisho la Soka hapa nchini Tff limeshauriwa kuzipatia mgao wa fedha vilabu vya ngazi za juu hapa nchini kutoka kwenye fedha watakazozipata kutoka FIFA.
Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ,Jamal Baiser amesema kuwa vilabu vingi hasa vya ligi kuu hali zao ni mbaya kiuchumi hivyo wakipata fedha hizo zitawasaidia kuendesha timu zao.
FIFA watatoa dola laki tano kwa kila mwanachama wake duniani kote ili kuwaokoa wanachama wake na anguko la kiuchumi lililosababishwa na janga la Corona.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.