Home Makala Tff Yashauriwa Kuzipa Nafuu Timu Za Ligi

Tff Yashauriwa Kuzipa Nafuu Timu Za Ligi

by Dennis Msotwa
0 comments

Shirikisho la Soka hapa nchini Tff limeshauriwa kuzipatia mgao wa fedha vilabu vya ngazi za juu hapa nchini kutoka kwenye fedha watakazozipata kutoka FIFA.

Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ,Jamal Baiser amesema kuwa vilabu vingi hasa vya ligi kuu hali zao ni mbaya kiuchumi hivyo wakipata fedha hizo zitawasaidia kuendesha timu zao.

FIFA watatoa dola laki tano kwa kila mwanachama wake duniani kote ili kuwaokoa wanachama wake na anguko la kiuchumi lililosababishwa na janga la Corona.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited