Home Makala Tovuti Ya Simba Sc Yazinduliwa Leo

Tovuti Ya Simba Sc Yazinduliwa Leo

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa klabu ya Simba umezindua rasmi Website yake (Tovuti) kwa ajili ya kutanua wigo mpana wa kutoa taarifa kwa mashabiki wake ndani na nje ya nchi.

Tovuti hiyo imezinduliwa rasmi leo saa saba mchana kama ambavyo walitangaza awali kuwa watakuwa na jambo lao siku ya 23,May.

Mabingwa hao wanashika nafasi ya kwanza kwenye ligi kuu wakiwa na pointi 71 katika mechi ya 28 huku watani wao wa jadi kutoka Jangwani wamepitwa mechi moja wakiwa na pointi 51 katika nafasi ya tatu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited