Serikali ya China imeamua kusimamisha kwanza shughuli za michezo mbalimbali nchini humo kutokana na kusambaa kwa kasi kwa virusi vya Corona Duniani.
Kamati ya Olimpiki (ICC) ambayo ilipangwa kufanyika jijini Wuhan,michezo ya Olimpiki Misumbwi na shirika la mpira wa kikapu (CBA) nchini China iliyothibitishiwa kuwa michezo ya ligi kuu ya mpira wa kikapu yote kwa pamoja imehairishwa.
Michezo ambayo haijahairishwa ni ya Olimpiki itakayofanyika jijini Tokyo nchini Japan mwezi Julai mwaka huu kwani ni michezo mikubwa na kamati haipo tayari kuisitisha.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Kiongozi wa kamati ya Olimpiki ,Toshiro Muro alisema”Nataka kusema na narudia tena kusema hakuna mpango wa kuhairisha wala kuvunja michezo ya Olimpiki itakayofanyika Tokyo”.