Home Makala Var Kutumika Simba sc Vs Wydad Ac

Var Kutumika Simba sc Vs Wydad Ac

by Sports Leo
0 comments

Mchezo wa hatua ya robo fainali baina ya Simba sc dhidi ya Wydad Ac utakaofanyika siku ya Jumamosi katika uwanja wa Benjamini Mkapa utaamuliwa kwa usaidizi wa teknolijia ya video maarufu kama Var(Video Assistance Refaree).

Alhamisi wataalamu wa teknolojia hiyo kutoka Misri watawasili nchini tayari kwa kufunga mitambo yao na kuijaribu kwa ajili ya mechi ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayozikutanisha timu hizo zenye mashabiki wengi katika mataifa yao.

Hii itakuwa ni kwa mara ya pili katika Historia kwa VAR kutumika Tanzania katika Uwanja wa Benjamin Mkapa na huku teknoljia hiyo mara zote ikiitanisha Simba SC pekee ambao wamekua na historia ya kufuzu mara kwa mara katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Caf.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited