Azam Fc Kukipiga na Wydad
Klabu ya Azam Fc usiku wa leo itaingia uwanjani katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco mchezo utakaofanyika katika mji wa Benslimane nchini humo ikiwa ni mchezo wa kwanza mgumu kwa Azam Fc. Azam Fc ambao juzi kulazimishwa sare ya 1-1 na Union Touarga,watakua na kazi ngumu ya kukabiliana na Wydad…
