Home Makala Virgil Van Dijik Asifiwa Liverpool.

Virgil Van Dijik Asifiwa Liverpool.

by Dennis Msotwa
0 comments

Virgil Van Dijik ni mchezaji wa soka wa Uholanzi anayeichezea klabu ya ligi kuu ya Uingereza Liverpool F.C

Pia anacheza ndani ya timu ya Taifa ya Uholanzi kama beki wa nyuma, alijiunga na Liverpool mnamo tarehe 1 Januari 2018.

Mchezaji huyo amesifiwa kuwa mchezaji mzuri zaidi katika nafasi yake ya ulinzi katika historia ya ligi kuu Uingereza kwa mujibu wa mchezaji wa zamani wa Arsenal Martin Keown.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited