Home Makala Wachezaji Man Utd Wapewa Siku 7

Wachezaji Man Utd Wapewa Siku 7

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manchester United (Red Devil) imewataka nyota wake waliopo nje ya England kurejea haraka  ndani ya siku saba ili kuendelea na majukumu yao kama zamani.

Uamuzi huo umekuja ikiwa ni siku chache baada ya baadhi ya klabu za Premier League kuanza mazoezi ili kujiandaa kwa ligi hiyo iliyosimama tangu Machi, mwaka huu kutokana na uwepo wa maambukizi ya virusi visababishwavyo na Corona.

Baadhi ya nyota wa timu hiyo ambao wapo nje ya England ni Fred (Brazil), Victor Lindelof (Sweden) na Sergio Romero (Argentina) na wengine waliotoka nje ya England wameombwa kutekeleza mamlaka hayo ili kuanza mazoezi ya ligi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited