Home Makala Wachezaji Simba sc Kuwekwa Kitimoto

Wachezaji Simba sc Kuwekwa Kitimoto

by Sports Leo
0 comments

Zacharia Hanspope ambaye ni kiongozi wa klabu ya Simba sc amelalamika baadhi ya viwango vilivyoonyeshwa na wachezaji wa Simba sc kufuatia kutoa sare na Yanga sc katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Hanspope alisema kuwa wachezaji kama Chama,Rally Bwallya na Luis Miqquisone ni miongoni mwa mastaa waliocheza chini ya kiwango na kusababisha sare hiyo.

Kiongozi huyo amesisitiza kuwa wachezaji hao watawekwa kitimoto ili kuelezea hasa sababu ya kucheza chini ya kiwango katika mchezo huo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited