Taarifa za ndani yaklanu hiyo zinasema kuwa wachezaji ambao wameshindwa kulishawishi benchi la ufundi na sasa uongozi unafikiria kuwatoa kwa mkopo ama ikishindikana kuwauza kabla dirisha la usajili halijafungwa.
Kutokana na hilo mastaa kama Jimyson Mwanuke, kipa Ahmed Feruz na mshambuliaji Mohamed Mussa wapo katika hatihati ya kuwekwa sokoni kwa sasa kutokana na mapendekezo ya kocha Robertinho.