Home Makala Yanga Kujipima Kesho Azam Complex

Yanga Kujipima Kesho Azam Complex

by Sports Leo
0 comments

Yanga Sc itacheza mechi ya kirafiki kesho dhidi ya Mlandege fc kutoka visiwani Zanzibar katika uwanja wa Azam complex mida ya saa 1 usiku.

Wanajangwani hao wameamua kujipima nguvu katika uwanja wa nyasi bandia ili kujiandaa na mechi ijayo  ya ligi dhidi ya kagera sugar.

Mechi hiyo ya ligi itachezwa katika uwanja wa nyasi za bandia wa kaitaba tarehe 19/09/2020 siku ya jumamosi saa 10 kamili jioni .

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited