Home Makala Yanga sc Yaitoa Ken Gold Fa

Yanga sc Yaitoa Ken Gold Fa

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kufuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la shirikisho nchini baada ya kuifunga timu ya Ken Gold bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Uhuru.

Bao pekee la Fiston AbdulRazaq 42′ lilitosha kuwavusha Yanga sc hatua inayofuata baada ya kupata penati aliyoifunga kwa ustadi mkubwa kufuatia beki wa Ken Gold kuunawa mpira ndani ya boksi.

Licha ya ushindi huo mwembamba Yanga sc ilikosa magoli mengi kutokana na kushindwa kujipanga vizuri eneo la ushmabuliaji huku staa Carlos Carlinhos akionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 82 baada ya kumpiga ngumi mlinzi wa Kengold.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited