Klabu ya Yanga sc imemsimamisha Kaimu Katibu Mkuu wa klabu hiyo Saimon Patrick kufuatia tuhuma za kukutana na viongozi wa Simba sc kwa lengo la kuihujumu klabu hiyo.
Shutuma hizo awali zilitolewa na mwanachama maarufu wa klabu hiyo ambaye kwa sasa ni mkuu wa Wilaya ya Rombo Athuman Kihamia kupitia Tv ya Global.
Simon amesimamishwa mpaka ili kuwezesha kufanyika kwa uchunguzi kuhusu suala hilo kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na klabu hiyo.Taarifa kamili hiyo hapo:
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.