Home Makala Yanga Sc Yamsimamisha K/katibu Mkuu

Yanga Sc Yamsimamisha K/katibu Mkuu

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imemsimamisha Kaimu Katibu Mkuu wa klabu hiyo Saimon Patrick kufuatia tuhuma za kukutana na viongozi wa Simba sc kwa lengo la kuihujumu klabu hiyo.

Shutuma hizo awali zilitolewa na mwanachama maarufu wa klabu hiyo ambaye kwa sasa ni mkuu wa Wilaya ya Rombo Athuman Kihamia kupitia Tv ya Global.

Simon amesimamishwa mpaka ili kuwezesha kufanyika kwa uchunguzi kuhusu suala hilo kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na klabu hiyo.Taarifa kamili hiyo hapo:

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited