Home Makala Yanga sc Yapoteza Vpl

Yanga sc Yapoteza Vpl

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imepoteza kwa mara ya kwanza mchezo wa Vpl baada ya kukuibali kufungwa mabao 2-1 na Coastal Union mchezo uliofanyika katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Coastal walipata bao dakika ya 10 kupitia kwa Erick Msagati lakini Tuisila Kisinda alisawazisha dakika ya 35 na kufanya timu kwenda mapumziko zikiwa sare ya 1-1.

Kipindi cha pili kilianza kwa kasi lakini uimara wa makipa wa pande zote ulisababisha mchezo ubaki kama ulivyo mpaka dakika ya 85 Mudathir Majimengi alipofunga bao la pili kwa Coastal Union.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited