Home Makala Yanga Yaibuka Na Ushindi Singida United

Yanga Yaibuka Na Ushindi Singida United

by Sports Leo
0 comments

Kocha Mkuu wa Yanga Luc Eymael  amesepa na pointi tatu muhimu kwa mara ya kwanza kwa ushindi wa mabao 3-1 mbele ya Singida United katika uwanja wa Namfua.

Molinga alipachika bao la kwanza dakika ya 12 na kipindi cha pili waliongeza juhudi na kufunga bao la pili kupitia kwa Haruna Niyonzima dakika ya 57 akimalizia pasi ya Morison.

Wakati mabeki wa Singida United wakijitahidi kuokoa mpira ulio ndani ya 18 mchezaji wa Yanga Yikpe aliongeza bao la tatu dakika ya 77 huku Singida United wakijipatia bao la kufuta machozi dakika ya 82 kupitia Six Mwakasege. .

banner

Luc Eymael alisema kuwa walijipanga kupata ushindi na hivyo ahadi imetimia kwa mashabiki wa Yanga.’8

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited