Home Makala Yanga Yaongeza Jembe Kutoka Polisi Tanzania

Yanga Yaongeza Jembe Kutoka Polisi Tanzania

by Sports Leo
0 comments

Leo Agosti Mosi, Yassin Mustapha amesaini dili jipya la kuitumikia Yanga akitokea Polisi Tanzania iliyokuwa ikinolewa chini ya Malale Hamisi.

Yassin Mustapha anakuwa ni wa tatu kutambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Yanga, wa kwanza akiwa ni Zawadi Mauya kutoka Kagera Sugar akifuatiwa na Bakari Mwamnyeto kutoka Coastal Union.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited