Home Masumbwi Mwakinyo Kiwango Juu

Mwakinyo Kiwango Juu

by Sports Leo
0 comments

Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo amepanda katika orodha ya mabondia wenye uzito wa Super Welter baada ya kushinda pambano lake na Mfilipino Tinampay lililofanyika katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Katika viwango ambavyo hutolewa na mtandao wa ngumi wa dunia (Boxrec), Mwakinyo amepanda hadi nafasi ya 17 kutoka nafasi ya 19 aliyokuwa awali katika uzani wake wa Super Welter, huku akiendelea kushika nafasi ya kwanza barani Afrika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited