Home Soka Awesu,Mauya Watakiwa Jangwani

Awesu,Mauya Watakiwa Jangwani

by Sports Leo
0 comments

Yanga wapo kwenye mazungumzo ya kumsajjili kiungo wa Awesu Awesu aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Kagera Sugar pamoja na  kiungo mwigine wa Kagera Sugar Zawadi Mauya kwa wakati mmoja.

Yanga sc imeonekana kuvutiwa na viungo hao hasa baada ya kuwanyanyasa hasa walipokutana katika mchezo wa kombe la shirikisho ambapo walionyesha viwango bora.

Pia habari hizo za kuwahitaji mastaa hao zimeenda sambamba na kuhitajika kwa kocha Mecky Mexime katika klabu hiyo ya Jangwani ambapo taarifa za awali zinadai tayari ameshasaini klabuni hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited