Home Soka Azam Fc Yapindua Meza

Azam Fc Yapindua Meza

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam Fc imekamilisha usajili wa beki Edward Charles Manyama akitokea klabu ya Ruvu shooting kwa mkataba wa miakam mitatu.

Taarifa hizo za kukamilika kwa usajili wa mchezaji huyo zimekuja ghafla baada ya awali kusambaa kwa taarifa kwamba mchezaji huyo amesajiliwa na Simba sc huku Yanga sc na Azam Fc zikiachwa kwenye mataa.

Hata hivyo jana zilisambaa picha huku Azam Fc wakithibitisha kumalizana na mchezaji huyo ambaye atakaa hapo mpaka mwaka 2024.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited