Home Soka Azam fc,Namungo Hakuna Mbabe

Azam fc,Namungo Hakuna Mbabe

by Dennis Msotwa
0 comments

Mechi kati ya Azam Fc na Namungo Fc imemalizika kwa sare baada ya dakika 90 za mchezo uliofanyika katika uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaaam.

Mabao ya Azam Fc yalifungwa na Idd Nado dakika za 19 na 74 huku Namungo wakifunga kupitia kwa Charles Manyama dakika ya 25 huku Stephen Sey akifunga bao la kusawazisha dakika za mwisho mwa mchezo.

Sare hiyo inamaanisha kwamba Azam Fc imeshindwa kupata ushindi katika mechi tano mfululizo na kuzidi kuacha pengo la alama kwa Yanga sc wenye alama 34 huku Azam Fc wakiwa na alama 27.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited