Home Soka Azam Tv Yamwaga Mabilioni Ligi Kuu

Azam Tv Yamwaga Mabilioni Ligi Kuu

by Sports Leo
0 comments

Kampuni ya Azam Tv imeingia mkataba na bodi ya ligi kuu Tanzania bara pamoja na Shirikisho la soka nchini Tff kudhamini matangazo ya Televisheni kwa muda wa miaka 10 kwa kiasi cha shilingi Biloni 225.

Katika mkataba huo klabu za ligi kuu zitakua na malipo makubwa kila mwezi ambapo kila timu itapata mgao wa kiasi cha milioni 40 kwa ajili ya kulipa mishahara ya wachezaji huku bingwa wa ligi kuu atapata Bonasi ya milioni mia tano na mshindi wa pili akipata milioni 250 na wa tatu milioni 225 huku zawadi zikiendelea mpaka mshindi wa sita.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited