Home Soka Balama,Niyonzima Wamaliza Msimu

Balama,Niyonzima Wamaliza Msimu

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa klabu ya Yanga sc Luc Eymael amethibitisha kuwa viungo Balama Mapinduzi na Haruna Niyonzima hawatoichezea tena timu hiyo mpaka msimu ujao kutokana na majeraha yanayowakabili.

Awali mastaa hao waliumia wakati wakiitumikia timu hiyo ambapo Balama aliumia mazoezini huku Niyonzima akiumia wakati wa mchezo dhidi ya Biashara United.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited