Home Soka Barca Hali Tete

Barca Hali Tete

by Dennis Msotwa
0 comments

FC Barcelona hawana bajeti ya usajili kwa msimu wa kiangazi na wanaweza kutegemea tu pesa zitakazopatikana kupitia mauzo ya wachezaji watakaouzwa dirisha kubwa la usajili kutokana na athari za  janga la virusi vya Corona.

Rais wa klabu hiyo Maria Bartomeu inasemekana amepanga kiasi cha Euro Milioni 60 kwa ajili ya usajili katika majira ya joto lakini hela hiyo itapatikana baada ya baadhi ya wachezaji kuuzwa.

Ikumbukwe Barca inataka kumsajili mshambuliaji wa Intermilan Lautaro Martinez ambaye gharama yake inakadiriwa kuzidi paundi milioni 50 huku pia msimu uliopita ilitumia paundi milioni 250 kuwasajili

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited