Mashabiki Yanga sc Kukopeshwa Simu
Klabu ya Yanga sc leo imeingia mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Silver General Investment ambapo mashabiki wa klabu hiyo na Watanzania wote wanaweza kukopeshwa simu na kulipa kwa awamu tofauti kupitia utaratibu maalumu katika matawi ya klabu hiyo. Mkataba huo umesainiwa mapema leo na Rais wa Yanga Sc Eng.Hersi Said pamoja na wawakilishi…
