Home Soka Bosi Tff Aula Fifa

Bosi Tff Aula Fifa

by Dennis Msotwa
0 comments

Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la soka nchini(Tff) Oscar Milambo ameteuliwa na shirikisho la soka Duniani(Fifa) kwenye kamati maalumu kwa ajili ya kutengeneza mitaala na moduli za mafunzo ya kozi zote za CAF kuanzia Diploma D mpaka A.

Milambo amekua mmoja wa maafisa 6 barani Afrika kuteuliwa kushika wadhifa huo adhimu ambapo atapata fursa ya kuliwakilisha Taifa.

Kocha huyo ni mmoja ya makocha wachache wasomi nchini ambapo pia alipata nafasi ya kuifundisha timu ya vijana chini ya miaka 17 katika mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika yaliyofanyika nchini mwaka jana.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited