Home Soka Buswita Atua Polisi

Buswita Atua Polisi

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Mbao Fc na Yanga sc Pius Buswita amejiunga na timu ya Polisi Tanzania baada ya kuwa nje kwa nusu msimu tangu atemwe na Yanga.

Mchezaji huyo mwenye uwezo wa kucheza kiungo wa kati na pembeni amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja katika usajili wa dirisha dogo linalofunguliwa kuanzia disemba 15 mwaka huu.

Buswita alisajiliwa na Yanga baada ya kufanya vizuri misimu miwili iliyopita akiwa katika klabu ya Mbao fc ambapo alikua na uhakika wa namba enzi za kocha George Lwandamina kabla ya kuja kocha Mwinyi Zahera ambae alimtema.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited