Home Soka Chama Aishika Kaizer Chiefs

Chama Aishika Kaizer Chiefs

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika anavutiwa sana na kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba Clatous Chama
Kocha mkuu wa Kaizer Stuart Baxter amesema anamuhitaji kiungo huyo ili kuimalisha kikosi chake kwaajili ya kupigania mataji msimu ujao hususani ni ligi kuu ya Africa kusini PSL ambayo msimu huu hakuwa na mwenendo mzuri.
Taarifa zinaendelea kutanabaisha kuwa licha ya miamba hiyo ya soka ya Africa kusini kuvutiwa na kiungo huyo fundi lakini bado hawajaanza mchakato wowote wa kumsajili hivyo bado hawajapeleka ofa yoyote iliyopelekwa katika klabu yake ya Simba sc.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited