Home Soka Chelsea Wanusa “Top Four”

Chelsea Wanusa “Top Four”

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Chelsea imeongeza matumaini ya kumaliza katika nafasi nne za juu baada ya kuibuka na ushindi katika mchezo dhidi ya Aston Villa katika uwanja wa Villa Park.

Vijana hao wa Frank Lampard iliwabidi kusawazisha goli la  Kortney Hause lililofungwa dakika ya 43 ambalo lilidumu mpaka dakika ya 60 baada ya Pulisic kusawazisha na dakika mbili baadae Oliver Giroud aliongeza bao la pili.

Chelsea wanaongeza pengo la pointi 5 dhidi ya Man United wenye pointi 46 na huku Aston villa wakisalia nafsi ya pili mkiani wakiwa na pointi 26.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited