Home Soka Chong Ajifunga Miwili Man Utd

Chong Ajifunga Miwili Man Utd

by Sports Leo
0 comments

Kinda wa Kiholanzi Tahit Chong amesaini mkataba  wa miaka miwili kuendelea kukipiga katika klabu ya Manchester United huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi mpaka mwaka 2022.

Kinda huyo mkataba wake wa awali ulikua unaisha mwezi june mwaka huu na kuzivutia timu kadhaa kama Inter Milan huku makubaliano na United yalikua yakilegalega kabla ya kusaini dili hilo.

Chong alijiunga na United mwaka 2016 na alicheza mechi ya kwanza ya kikosi cha wakubwa mwezi january mwaka 2019 dhidi ya Reading katika kombe la Fa alisema ni ndoto kwake kujiunga na timu hiyo na anafuraha kuongeza mkataba klabuni hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited