Home Soka Dau La Makambo Linashtua

Dau La Makambo Linashtua

by Dennis Msotwa
0 comments

Baada ya Klabu ya Yanga kutangaza kuanza mchakato wa kutaka kumrejesha mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Heritier Makambo anayecheza Horoya AC ya Guinea,Afisa habari wa Klabu hiyo Elhadj Ibrahima Kalil amesema hamna ofa wala mawasiliano yoyote kutoka Yanga ya kumtaka Makambo.

-brahima amedai kuwa bado wana mkataba mrefu na mshambuliaji huyo. Pia amesema Makambo ni mchezaji muhimu kwenye kikosi chao lakini kama Yanga wapo tayari waandae dau la dola 130,000 (zaidi ya Milioni 300 za kitanzania) kuvunja mkataba wa miaka miwili uliobaki.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited