Home Soka Elfu 30 Kushuhudia Simba sc Vs Yanga sc

Elfu 30 Kushuhudia Simba sc Vs Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa uwanja wa taifa umesema kwenye mchezo wa nusu fainali FA cup Simba sc dhidi ya Yanga July 12, 2020 utachezwa ukiwa na Mashabiki elfu (30) badala ya elfu sitini (60)

Uongozi umeeleza hatua hiyo itachukuliwa ikiwa ni tahadhali na kufuata masharti yaliyotolewa na selikali kuhusu kujikinga na virusi vya corona (COVID-19).

Mechi hiyo inatarajiwa kuwa na mvuto mkubwa kwa mashabiki wa soka nchini ambako kwa mwaka huu kuongezeka kwa ushindani baina ya timu hizo kunatajwa kuwa chanzo cha mashabiki wa timu hizo kujaa uwanjani.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited