Home Soka Fcc Wamjibu Mo Dewji

Fcc Wamjibu Mo Dewji

by Sports Leo
0 comments

Baada ya mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi simba SC, Mo Dewji kudai mpango wa mabadiliko wa Klabu ya simba SC inakwamishwa na FCC baada ya kuagizwa Kuanza upya kwa mchakato huo, Mkurugenzi wa FCC Dr.John Mduma amesema FCC hawawezi kuizungumzia Kesi ambayo bado haijatolewa maamuzi.

“Hatuwezi kuizungumzia Kesi ambayo maamuzi yake bado hayajatoka mana tume ya Ushindani (FCC) ni kama mahakama ya mwanzo kwenye Ushindani kwa hiyo hatuwezi kuizungumzia Kesi ambayo haijaamuliwa kwenye vyombo vya Habari”. – Dr.John Mduma Mkurugenzi FCC.

Cc:Clouds Fm

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited