Home Soka Gerd Muller aaga dunia

Gerd Muller aaga dunia

by Dennis Msotwa
0 comments

Gwiji la soka nchini Ujerumani Gerd Muller na klabu ya soka ya Bayern Munich amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 75 taarifa kutoka klabu yake hiyo ya zamani ikithibitisha.

Mshindi huyo wa kombe la dunia mwaka 1974 akiwa na kikosi cha Ujerumani anatajwa kuwa mmoja kati ya washambuliaji hatari kuwahi kutokea.

Muller anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi katika michuano mimoja ya kombe la dunia akifunga magoli  10 mwaka 1970 akichukua pia tuzo ya Ballon d’Or mwaka huo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited