Home Soka Hans Anukia Jangwani

Hans Anukia Jangwani

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani wa Yanga sc Hans Van Pluijm huenda akarejea klabuni hapo baada ya kuwepo kwa tetesi za kocha Mwinyi Zahera kutimuliwa klabuni hapo baada ya kupata matokeo mabovu katika michezo ya hivi karibuni ukiwemo wa jana dhidi ya Pyramids.

Hans aliionoa timu hiyo kwa mafanikio na kufanikiwa kuipa makombe kadhaa aliondoka na kwenda kujiunga na Singida united na baadae Azam fc kabla ya kutimuliwa na mabingwa hao wa michuano ya Kagame kisa matokeo mabovu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited