Home Soka Kagere Atua na Biti Zito

Kagere Atua na Biti Zito

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa klabu ya Simba Meddie Kagere ametua nchini huku akitamba kuwa amekuja kumalizia  kazi aliyoianza ya kuhakikisha anakua mfungaji bora wa ligi kuu nchini na kubeba kiatu cha dhahabu.

Staa huyo matata ametua nchini akitokea nchini Rwanda alipokua baaada ya ligi kuu kusimamishwa kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Corona.

Mastaa mbalimbali wa klabu ya Simba walikua nchini isipokua Kagere,Cletous Chama na Eldin Shiboub waliokua nchini mwao hivyo sasa klabu hiyo inajiandaa kuwapokea Chama na Shiboub ili kukamilisha kikosi cha kinachotarajiwa kuanza mazoezi wiki hii.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited